Katika ziara hii, Samahat Sheikh Swaleh AbduRahmani amewaeleza Waumini juu ya fadhila za kutoa Sadaka na ubora wake.
Tanbihi:
Kitengo hiki cha uhamasishaji kitaendelea na ziara hizi mpaka ndani ya Mwezi wa Muharram Insha'Allah.
Waliofanikisha Ziara hii:
1_Samahat Sheikh Swalehe.
2_Samahat Sheikh Murshid Tibaijuka.
Ripoti hii imetolewa kwa hisani kubwa ya:
Kitengo cha Ripoti za Tabligh Hawzat Imam Ali (a.s).
Your Comment